Tarehe: 3:07:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 4:14:00 AM, Mtoa Maoni:- Indya Nkya
Tarehe: 7:45:00 PM, Mtoa Maoni:-
ukweli ni kwamba walikuwa wanamuona huyu babu gundu na wamefurahia sana kifo chake. kwa sababu wote wlioko madarakani ni waroho tuu wa pesa za wananchi na kazi yao kuwaza ngono wakishaweza kukwapua hizo pesa ili waweze wakawarukie wakina dada wakiwa ni viongozi wenzao au watakaowakuta pale mtaani haijalishi ni wachafu kwakeli kama huyo Rais mkapa na mke hawatosheki na chakula wanakula wanajitapisha wanarudi tena mezani. na hawa viongozi wengine kazi zao kupambisha moto ushoga wanaenda kuokota mashoga alafu wanajifanya wanawake mashoga wakubwa kama yule balozi wa Tanzania nchini uing..... na mwingine yule sal... Ahm....sal laana ya mungu iwashukie wanafiki wakubwa.
Tarehe: 6:08:00 PM, Mtoa Maoni:-
ukweli ni kwamba walikuwa wanamuona huyu babu gundu na wamefurahia sana kifo chake. kwa sababu wote wlioko madarakani ni waroho tuu wa pesa za wananchi na kazi yao kuwaza ngono wakishaweza kukwapua hizo pesa ili waweze wakawarukie wakina dada wakiwa ni viongozi wenzao au watakaowakuta pale mtaani haijalishi ni wachafu kwakeli kama huyo Rais mkapa na mke hawatosheki na chakula wanakula wanajitapisha wanarudi tena mezani. na hawa viongozi wengine kazi zao kupambisha moto ushoga wanaenda kuokota mashoga alafu wanajifanya wanawake mashoga wakubwa kama yule balozi wa Tanzania nchini uing..... na mwingine yule sal... Ahm....sal laana ya mungu iwashukie wanafiki wakubwa.
Tarehe: 8:39:00 AM, Mtoa Maoni:-
ebwana ee alafu unakumbuka kipindi kile wakati kijana wa mkapa anaoa ee yeye na mkewewakapigana virungu mama akavunjika mkono na baba akatenguka mguu eti wakadai walikuwa wana bishania ukumbi oungo mtupi ni maliwalizoibia wananchi zilitaka kuwatoa roho si unajua mchimba kisima anaingia mwenyewe. jamani yule mama hata lili jengo refu kubwa walilokuwa wanakaa wafanyakazi wa posta pale mjini karibu na IFM si mnalifahamu eee hana hata haya mbaya sana ni bora kwanza watoke madarakani kwa sababu alishaanza kuharibu nchi yetu na ukabila yeye mwenyewe hatuelewi hata ni kabila gani maana Tanzania hatuna wanawake wenye sura mbaya hivyo. yaani ni waizi wametuibia nchi kwa kweli. huyu naye anayekuja madarakani kwa tiketi ya CCM aache uzinzi jamani maana huyu jamaa ni chupi mkoni , eti anadai hachagui habagui atayemzika hamjui sasa kama raisi mwenyewe akiwa hivyo sijui wananchi wake tuweje.
Na yule mwingine Sumaye pamoja na pesa zote alizoiba pamoja na kutaifisha majengo akishirikiana na wafanyabiashara mbalimbali bado anavaa soksi zilizotoboka, siku hiyo bwana akawa na mkutano na watu fulani hivi etii akavua viatu ili awkw viguu vyake kwenye meza ile kuweka hivi soksi zimetoboka jaaaamani. sasa hivi amefedheheka na kusawajika akifikiria ataenda kuibia wapiiii??
hivi na yule mapuri nani alimpa cheo, jamani yule baba anamdomo hivi mlishamfatilia?? kwakweli anavisa sana hawa wote kama nyenyere angekuwepo watu wangekuwa wapole ndio hawa wamemuua mzee maana siku ile Mkapa akitangaza kifo mzee alikuwa anacheka cheka siwadanganyi si wote tuliona au mme sahau.
yaani Tanzania imeibiwa haiko tena kama ingekuwa nchi inaweza kuizwa kila mtu apewe chake atumue ingekuwa poa sana kwa sababu hata hii Tanzania mnaiongelea sijui ni Tanzania gani??? Tanzania haipo limebaki kopo.
Tarehe: 1:19:00 PM, Mtoa Maoni:-
Mazuri ya Nyerere? Alikuwa msemaji mzuri aliyeweza kuutetea uongo ukafanana na kweli.Aliwatisha viongozi waliokuwa chini yake na kuwafanya wamwabudu kama mungu wao. Alikuwa na nguvu ya kushawishi akaitumia vibaya kuwashawishi watu wahamie kwenye vijiji vya ujamaa. Alikuwa msomi aliyengangania sera zake hata kama sera hizo zinaonyesha kila dalili ya kushindwa. Kwa hili alikuwa mpumbavu. Ni wapumbavu tu ndio wasiobadili mawazo.
Ubaya wa Mwinyi? Alibambikizwa uongozi ambao hakuwahi kuuota. Alifanywa kama robot inayofanya kile inachoamriwa kufanya, Mpaka siku alipofanya kosa la kujiamulia mambo kama rais wa nchi, ndipo Nyerere alipomkemea hadharani kwamba anaongozwa na mkewe.
Huo ndio uliokuwa ubaya wa Mwinyi AL HaJI. Napatwa na kichefuchefu ninapowasikia watu wakisema Nyerere alileta amani Tanzania. Aliileta kutoka wapi? Watanzania walikuwa na amani ambayo haikuwahi kupotea hata siku moja. Nyerere aliwaogopesha watanzania na wala hakuwaunganisha kama alivyotaka ulimwengu uelewe
. Kwangu mimi Nyerere ni mtu aliyekufa bila kufanya kile alichofikiri kuwa alikiamini. Hakuwa na mawazo yake mwenyewe, bali alijikita zaidi katika kuwaiga akina Mao na wakomunisti wengine duniani. Baada ya miaka mitano Nyerere hatakumbukwa kwa lolote Tanzania, na huo ndio utakaokuwa ushahidi wa kutosha kwamba waovu wanapokufa na mambo yao yanakufa. Mpaka sasa nawasikitikia akina Mkapa kwani wanatumia mawazo yaliyokufa ya Nyerere kuiongoza Tanzania ya walio hai. Ndio maana ninasema kuwa CCM imezeeka na haifai kuiongoza Tz.
Munishi.
Tarehe: 1:23:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 1:25:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 3:45:00 PM, Mtoa Maoni:-
Twende na wakati! Asema Ochieng
Nyerere aliwanyonya watanzania bongo zao wakawa hawafikiri.Waliimba zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM. Hiyo ilionyesha kuwa wao wenyewe walikuwa hawafikiri. siyo ajabu wakimuona Munishi akifikiri na kuandika maoni yake, wanamtuma Hospitali akapimwe akili.
Nyerere "aliwabrainwash" Watanzania wote.Tunashukuru Munishi kutufahamisha hayo. Unaonekana wewe ni mmoja wa hao ambao bongo zao zilikufa na Nyerere. Wewe ndiye unayetakiwa kwenda na wakati.Ujue kwamba kutoa maoni siyo kosa la jinai kama Nyerere alivyowafundisha.
Ochieng Nairobi
"I find the great thing in this world is not so much where we stand,
as in what direction we are moving: To reach the port of heaven,
we must sail sometimes with the wind and sometimes against it, but
we must sail, and not drift, nor lie at anchor."
Oliver Wendell Holmes, Jr.
oscars