Tuesday, December 06, 2005
DAWA YA MALARIA?
Ugonjwa wa malaria unaua watu wengi barani Afrika kila mwaka zaidi ya ugonjwa wa ukimwi. Hili halina nafasi sana kwenye vyombo vya habari vya dunia kwa sababu wanaotawala mikataba ya habari ugonjwa wa malaria hauwasumbui sana.Sasa kuna mpambano unaendelea juu ya tiba ya malaria.Soma hapa uone jinsi wanasayansi wetu wanavyojitahidi.
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 12:49 PM
|
Permalink |