VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Tuesday, December 06, 2005
MSOME FIDEL CASTRO!

Katika viongozi ambao wananivutia duniani sidhani kama kuna ambaye ananivutia kuliko Fidel Castro.Huyu ndio yule jamaa ambaye hujaza watu na wakamsikiliza kuanza mashariki mpaka magharibi.Anachokiongelea Fidel Castro hapa ni kama majumuisho ya masuala mengi sana ambayo wanablogu wa kiswahili tunayazungumzia hapa kila siku.Naamini tunaeleweka vilivyo kwa sababu habari za uhakika za kijasusi nilizonazo ni kwamba "tunaogopwa".Tunasema ukweli bila woga,tunatimiza haki zetu za msingi na zilizoandikwa kwenye katiba za nchi zetu.Kama ziliandikwa bila nia ya kutekelezwa basi bahati mbaya.Tafuta muda muafaka,kama unakunywa maji ya baraka basi yatayarishe,msome Fidel Castro hapa kwa makini,kwa vituo.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 3:56 PM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 8:47:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    mzee anaongea kwa kirefu. nimesoma nusu tu. nitaendelea baadaye. jambo zuri alilosema mpaka nilipofikia ni juu ya umuhimu wa kuuliza maswali kuhusu hali yetu. Na lazima tuendelee kuuliza na kujadili kila upande.

    Mwandani.

     
  • Tarehe: 11:46:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Sijaisoma lakini kuna wakati aliwaambia viongozi wa nchi za CPA Yaani Carribean Pacific and Afrika kwamba wakiamua kuwaliza nchi za magharibi ni kitendo cha sekunde moja. Kwa mfano alisema wote wakisema hawatanunua magari toka ujapani basi Japani itasimama kwa dakika kadhaa.
    Nkya

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker