Tarehe: 3:30:00 PM, Mtoa Maoni:- Ndesanjo Macha
Tarehe: 2:05:00 AM, Mtoa Maoni:- Christian Bwaya
Tarehe: 7:23:00 AM, Mtoa Maoni:- FOSEWERD Initiatives
nakubaliana na wewe kaka msangi kwa kuchokoza akili za wenzetu kule home katika hili. nia siku zote ni ujumbe ufike hivyo ni heko. sijui kama gazeti, mtanzania daima inauza kopi ngapi kwa siku/wiki? je kati ya hizop ngapi dar na ngapi nje ya dar?
nakubaliana na uteuzi wa kina mama. ni waelewa na wasiopenda kukaa na mabomu. pia wana utu. kitonda cha hisia kuwa mgombea uraisi wa ajaye kuwa mama ni chema kwani hawa wenzetu hawana mgango wa kurig ili waongoze.
baraza la sasa japo lina gharama lakini ninaona kama muheshimiwa ametaka wabunge nao wamlipe fadhila kwani pia aliwapigia kampeni ya bidii katika ile slogan ya mafiga matatu. sasa anataka kila mtu amsaidie kwenye section husika ya ilani yake. nadhani kama uzalendo utashika nafasi yake inaweza ikawork out. vitu vingine mfano mapuri kupiga wananchi kupitia magereza polisi wangeamuaje? - labda ndo maana kawatenga. unajua kutokuwa na vitambulisho vya uraia vimewanyima watz nafasi na resources zao nyingi? labda tumpe nafasi kama nia yake ni nzuri, mazuri yaweza kupita gharama.
Tarehe: 2:57:00 PM, Mtoa Maoni:- boniphace
Jeff hicho kiunganishi cha Tanzania Daima kiko kwenye Construction hadi lini? Wengine tulishatanga za ukombozi wa kupata walau taarifa mpya tumechoka kusoma Uhuru na magezeti ya Mengi. Mtaarifu Mbowe mheshimiwa, mwambie asikie kilio chetu na kutuwekea kiunganishi hicho haraka kama alivyofanya kwa kuweka kiunganishi kwa bendera ya Uingereza kwenye ile tovuti ya chadema. (kauli hiyo ya mwisho ni ucheshi tu)
Nimeingia hapa nikakumbuka kuwa nilikuwa nitazame ukubwa wa sirikali ya Joji Kichaka nikasahau!