Tarehe: 8:41:00 AM, Mtoa Maoni:- FOSEWERD Initiatives
Tarehe: 9:34:00 AM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
Tarehe: 8:50:00 PM, Mtoa Maoni:- Ndesanjo Macha
Tarehe: 6:58:00 PM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
Tarehe: 6:30:00 AM, Mtoa Maoni:- Christian Bwaya
Nikufagilie kidogo bwana kwa makala ya Jumapili kwenye Tanzania Daima. Sikuwa mnunuzi wa magazeti hayo ila sasa naona utanifanya nikufuatilie kwa huko. Kazi nzuri sana Jeff, lakini kumbuka bado utamaduni wa kusoma hapa nyumbani uko chini sana. Hilo halikatishi tamaa, ni changamoto kwa waandishi na wanataaluma kama wewe, ambao wana moyo wa uzalendo kwa watu wao.
Niko kunako muziki haswaa, napata ile kitu roho "inapenda". Siku njema "mzee".
Tarehe: 5:17:00 AM, Mtoa Maoni:-
Jeff umenikumbusha mbali sana ulipozungumzia mafuta ya mgando na challenge ya ashati imenifuraisha sana anyway maisha yanaenda yakibadilika ndio maana kizazi cha sasa wanatumia lotion sio mafuta mgando tena. Well done site ya music ni nzuri inasaidia walio mbali na nyumbani kupata muziki wa nyumbani
jeff, aksante sana. sasa hivi nakula rhumba "juju" music toka kule yoruba land. muziki wao ni tajiri sana.
cheers