VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Monday, January 02, 2006
KUMBE HATA MAREKANI WANAOGOPA BLOGU!
Kheri ya mwaka mpya!Ni lazima tutakiane kheri jamani.Mwaka mpya ndio umeanza rasmi na tayari umeshaanza kuyoyoma,leo tayari ni tarehe mbili mwezi wa kwanza 2006!Nina imani kwamba mwaka huu changamoto ya uwanja huu wa blogu itakuwa pevu zaidi katika kuelekea kwenye mabadiliko tunayoyataka kwenye jamii zetu.
Uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa kujieleza bado ni jambo ambalo dunia nzima inalilia.Bado wanahabari tunazongwazongwa.Blogu ndio tishio zaidi kwa hivi sasa.Hata Marekani imeanza kupata hofu ya aina yake kuhusiana na blogu.Visingizio kibao vimeanza kutolewa,soma hapa ujionee.
Labda cha msingi ni kutambua kwamba blogu zina nguvu na nguvu ni kitu ambacho tunakihitaji sana ili kuweka sawa merikebu zetu.Kheri ya mwaka mpya tena!
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 6:28 PM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 10:26:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger boniphace

    Jeff nimeona hiyo moto kama kazi, nimefika Ottawa sasa nadhani mwaka umeanza na kazi ya kuzitanua za Bongo inapaswa kuwa kali bila kuchoka,

     
  • Tarehe: 3:43:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger FOSEWERD Initiatives

    jeff,

    heri ya mwaka mpya kwako pia. nguvu ya blogu teyari kubwa tu na kama nilivyosema mahali kwamba ninahisi hata muhishimiwa raisi wetu ni mwanablogu japo tu hajafungua yake. si umesikia anatuanzishia kale kawizara tulikuwa tunakalilia ka kushughulikia uraia?

    ni blogu tu kwa ari mpya nguvu mpya na kasi mpya! - ndio njia pekee ya kumsaidia kupeleka merikebu vyema ukiacha yale magazeti ya wahariri nyumbani yanayosifia tu bila kueleza kasoro zilipo!

    cheers

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker