Tarehe: 7:54:00 PM, Mtoa Maoni:- boniphace
Tarehe: 4:08:00 AM, Mtoa Maoni:- FOSEWERD Initiatives
matatizo ya afrika yanaletwa na ubinafsi wa waliokamata jakipoti! alichosema makene ni sahihi kabisa. kwani seif angekuwa raisi sisi tungekufa? kwani fulani angekuwa mbunge nchi isingetawalika? matatizo ya afrika yanahitaji utatuzi wa ndani halafu tuje ya nje. lakini pia tokea nje pia inaweza kuwa nzuri. mfano, EAC wamekubaliana kuwa hapo 2010 wanazungusah uraisi wa nchi zote tatu za EA halafu kufikia 2013 anachaguliwa raisi wa federation! ishu ni kuwa je JK, Musyoka na museveni wakati huo wako tayari? federation ni njia nzuri sana ya kumaliza ukandamizaji mfano uliopo uganda na tanzania kwa sasa!
Tarehe: 4:09:00 AM, Mtoa Maoni:- FOSEWERD Initiatives
Tarehe: 6:36:00 AM, Mtoa Maoni:- Christian Bwaya
Suala la ubaguzi linakwamisha maendeleo yetu. Tunabaguana kiwendawazimu.
Umenikumbusha jinsi ambavyo Salim alivyobigwa buti kwa sababu eti yeye hajakolea sana rangi nyeusi!
Watu wenye uwezo wananyimwa fursa sawa kisa eti wanatoka kabila fulani! Nasikia (sina hakika) eti haitakaa itokee mchaga au Msukuma awe Rais? Tatizo ni nini hapa? Hivi wote si ni watanzania? Kwa nini tuwe na watu ambao wanawekewa mikwara mingi kwa sababu ambazo hazina kiuno?
Leo katangazwa Kingunge, mkongwe wa wakongwe kuwa mmoja wa askari miamvuli wa Kikwete. Watu wanalalamika? Kwa nini, hivi huu si ubaguzi jamani?
Heri ya mwaka mpya!
Tarehe: 10:49:00 AM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
Tarehe: 5:25:00 PM, Mtoa Maoni:- boniphace
Jeff nadhani rejea mjadala wetu kuhusu uchumi. Nini maana ya kuwa na genge la serikali wakati vikodi vya raia vikiwa chini. Kweli Kikwete hakuhitimu uchumi, hajui hali tunayokabiliwa nayo hasa rushwa. Hajui kuongeza umati huo ni kutanua wigo na si kupunguza. Haya sasa tazama vyeo vya kujitengenezea ili tu rafiki yangu fulani apate nafasi. Kizuri wanafahamika wote. Nikifika Texas kazi ya kwanza ni kuandika wizara zinazofanana na ambazo zingeweza kuwa moja. Tanzania haihitaji more than ten ministries na hakuna haja ya kuwa na manaibu waziri utitiri. Kwa sasa siwezi kushibisha hoja zangu lakini niandikapo I will come out with an economic plan especcialy for a country like Tanzania ambayo uchumi wake umekuwa ukishuka na sio kama IMF na WB wanavyodanganya huku kukiwa na growing/expanding of economic gap btn rich n poor ambalo halijawahi kutazamwa katika historia yetu. Mungu ibariki Afrika, Wabariki maskini wote. Ameni
Baragumu na Jeff macho yanatoka hapa nini mipaka hii Afrika. Tukija huku tabu na huko sisi kwa sisi tabu. Nakumbuka Wakenya wa pale Mwananchi, inauma inataka moyo kutazama suala hili upya. Haya ndiyo tunayofanya hapo Zanzibar tunaita matatizo yao na kamwe hatujitoi kuzungumza ukweli. Naishia hapa huku nikitafakari kuhusu mada hii.