VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Wednesday, February 15, 2006
CV YA MAHITA INA UTATA?

Mark Msaki na Boniface Makene waliniomba hivi karibuni kupitia blogu zao nichunguze kama kuna chuo kama Ontario Police College ambacho kwa mujibu wa CV ya mkuu wa jeshi la polisi Tanzania Omari Iddi Mahita ni mojawapo ya vyuo alivyopitia na kuhitimu.Nimejaribu kuchunguza lakini nimeshindwa kupata majibu mengi zaidi ya kwamba ni kweli chuo kama hicho kipo,kinaheshima za kimataifa na kinafundisha sayansi ya upolisi na masuala kama hayo.
Sasa unajua Mwalimu Nyerere aliwahi kusema jambo moja muhimu sana enzi za uhai wake.Alisema na hapa ninanukuu "elimu ni kile kinachobaki shule inapomalizika" Ngoja niweke na kiingereza chake ili tuelewane zaidi maana Mwalimu alisema hayo kwa kiingereza "Education is what remains when school is over".Chuo hiki kwa bahati mbaya hakipokei wanafunzi wa umma.Kwa maana hiyo mimi siwezi kupata nafasi pale.Ni lazima nitokee kwenye jeshi au taasisi zingine za kibabebabe hivi.Maswali yanabaki,je ni kweli Mahita alipitia chuo hiki?Alijifunza nini,alama gani alipata na je baada ya kuhitimu shule yake kuna kilichobaki??Nitaendelea kuchunguza.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 7:58 PM | Permalink |


Maoni: 6


  • Tarehe: 8:09:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger boniphace

    Jeff nimefarijika kwa majibuya haraka. Hii inaonyesha serikali ya wana blogu inachapa kazi kwelikweli na haina mzaha katika kufatilia jambo. Bado nina swali jingine kuhusu aina za taaluma zinazotolewa hapo nina maana ngazi ya taaluma, certificates, Diploma, Degrees nk.

     
  • Tarehe: 6:58:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Jeff, wasiliana na chuo rasmi kama mwanablogu na mwandishi wa habari ili uweze kupata taarifa rasmi za chuo. Taarifa za fulani alihudhuria chuo lini, alisoma nini, alipata alama gani sio taarifa za siri. Ukitaka mambo kama anuani hapo ndio itakuwa vigumu. Kwahiyo naona tuma maombi yako rasmi. Utakuwa unafungua uwanja ambao inabidi tuanze kuuingilia, uwanja wa wanablogu kuwa wapekuzi. Uandishi wa kipekuzi na kikachero kama wa marehemu Katabalo haujakomaa nchini kwetu. Mishiko mingi...

     
  • Tarehe: 8:38:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Indya Nkya

    Safi Jeff. Muhimu kabisa valia Njuga waandikie barua pepe watakupa bwana hasa kwa taaluma yako ya uhandishi wa habari

     
  • Tarehe: 8:43:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger FOSEWERD Initiatives

    Jeff kwa kweli ni kizungumkuti! kwa maana hii CV imeandikwa kama aya ya biblia! ukipita hapa

    http://www.theiacp.org/div_sec_com/div/MahitaBio.pdf

    utakuta maelezo haya ambayo hayaoanishi mwaka wala kipindi! haisemi ilikuwa ni BLL au Bcom au BsC au what!!! maana tena kuna hiko cha UK na hiko cha Tz! kwa ujumla imeandikwa kiusanii mno!

    ....A graduate of the Ontario Police College in Canada, the Bramshill Police Academy in the UK and the Tanzania Police College, his illustrious service has seen him through a number of responsible appointments both in Tanzania and abroad.....

    Jeff tumemsamehe mwalimu na tunampenda, pia ilikuwa ni process ya kujifunza! maneno ya mwalimu kwamba kinachobaki ni baada ya darasa ni ya msingi sana! kingine ni kuwa katika sayansi au elimu ya takwimu husaidia kufanya maamuzi kutokana na habari, tarakimu zilizopo....tunaweza kusema huyu jamaa kutokana na frequency zake za kuchemsha, na extent zake za kuchemsha, ziko statisticaly significant na vyuo alivyoingia hata kama ni kusalimia marafiki! kimsingi alifluke kuingia hiyo ofisi! kazi za Ben hizo!

     
  • Tarehe: 8:44:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger FOSEWERD Initiatives

    Ndesanjo umenitoa machozi nilipomkumbuka Ndolanga ah no samahani ni Katabalo Stan!

     
  • Tarehe: 8:46:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger FOSEWERD Initiatives

    unaona lugha za wenzetu, nasaihisha ....haziko statistical significantly associated na vyuo alivyoingia

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker