VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Thursday, February 16, 2006
MAHITA NA CHUO CHA POLISI ONTARIO

Katika muendelezo wa uchunguzi wangu kuhusiana na chuo cha polisi cha Ontario (pichani) na kivuli cha uhitimu wa mkuu wa jeshi la polisi Tanzania leo nimewasiliana na wahusika wa chuo hicho kwa njia ya simu.Kwa bahati mbaya sera zao za ubinafsi haziwaruhusu kutoa habari zozote za kitaaluma kumhusu mtu yeyote aliyewahi kuhitimu au kupitia kwenye madaraja na korido za chuo chao. bila ruhusa ya kimaandishi ya mhusika.Nikawa nimekwama.Ila nilichoweza kudadisi na kugundua ni kwamba chuo kinatoa certificates na diploma tu na kuna vyeti vya hata kozi za siku mbili ama tatu.Lakini uchunguzi bado unaendelea.Je kuna mtu anaweza kunisaidia na mwaka ambao mheshimiwa wetu alihudhuria chuo hiki?Kivumbi na jasho.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 7:20 PM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 11:14:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger boniphace

    Jeff nazidi kushukuru jitihada hizi. Maana wasishangae watu tunatafuta taarifa za kuandika Orbituary si unajua waandishi tunazitunza kabisa kwenye Rpways kusubiri tu siku. Lakini tukikamilisha taarifa hizi lazima niruke naye huyu kwenye makala Bongo.

     
  • Tarehe: 8:50:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger FOSEWERD Initiatives

    Jeff kwa kweli umepiga mzigo! kitendo cha kujua kua kuna kozi za siku mbili, certificate na diploma peke yake kimetengua ile kauli kuwa ni GRADUATE. sio kama nadharau chochote, kuna kina Mrema walisakata gozi vyema na diploma zao pia, lakini ukweli ubaki kuwa ukweli!

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker