Tarehe: 12:19:00 PM, Mtoa Maoni:- boniphace
Tarehe: 8:11:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 8:14:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 2:41:00 AM, Mtoa Maoni:- Reggy's
Tarehe: 8:37:00 AM, Mtoa Maoni:- mzee wa mshitu
Msangi hii baridi inatisha,
Inanikumbusha siku chache zilizopita nilipokuwa New York nakumbuka tulipata shida sana. Hakuna kuvaa suti kavu kavu inabidi kuweka na mikoti koti halafu kofia au gloves, siyo nyepesi ni zile nzito. Sasa wakati huo tukaambiwa eti ni majira ya joto bado ile baridi hatujaifikia. Du ikatushangaza. Lakini ndiyo yakawa maisha.
Sasa kama hivi sasa mnakimbilia kwenye msimu wa fall nawapeni pole. Sisi hatuna noma ni joto mtindo mmoja.
Tarehe: 12:43:00 PM, Mtoa Maoni:- John Mwaipopo
Nimeona hiyo Jeff, Ernesto naona naye kakimbilia joto la Tanzania, yupo Arusha sasa. Baridi ile haifai kabisa, mimi siitaki bora nikatinge koti na tai Bongo lakini si vichuguu vya nguo Canada.