Tarehe: 5:32:00 PM, Mtoa Maoni:- John Mwaipopo
Tarehe: 9:32:00 AM, Mtoa Maoni:- mwandani
Barua hii ni nzuri iliyojaa mantiki. Kama alivyosema Ahmadinajad kwamba yeye kikazi ni mwalimu - katumia utaalamu wake.(kama sio utaalamu wa waandishi wake wa hotuba)
Nadhani Ahmadinajad kaiandika hii barua akijua wazi walengwa wake ni umma kama sisi - na ndio maana imetufikia kwa haraka.
Kadhalika inasemekana kuwa kichaka ana ugonjwa unaomzuwia kusoma au kuelewa mambo kwa haraka.
Vile vile barua hii nadhani imeandikwa kuwatayarisha wanamgambo ikiwa irani itashambuliwa. Pia imeandikwa ili kumuweka Ahmadinajad katika vitabu vya historia kama mwanadiplomasia wa kimataifa - siyo wengi wanaoandika kwa viongozi wenzao kama binaadamu wawili wanaotaka maelewano.
Jambo la kuhusisha udini na jina la Yesu kwenye ugomvi huu nadhani ni karata mojawapo ya mizungu ili ajiweke vizuri kwenye mchezo na kujipa wajihi mzuri kwa walio wengi.
Tusisahau wote hawa wanatumia dini kama mwongozo wa kutawala - na wangekuwa ni wao pekee wanaotawala dunia nzima, wote wasioamini kama wao wasingekuwa na haki yoyote ya "kibinaadamu".
Wanachogombania ni nguvu za kibeberu kwa upande wa marekani na nguvu za kujihami kwa upande wa Irani. Mengine yote hayaleti maana. Na Irani ana haki ya kufanya uchunguzi wa "nookelaar" kama wengine wanafanya - Brazil imefungua mitambo hivi majuzi tu bila tatizo wala kelel kutoka kwa yeyote.
Kwamba kichaka anataka kuzuia nguvu za "nookelaar" za iran ili asiangamize Uyahudi sielewi hili - kama Irani akidondosha bomu Jerusalem si ataangamiza maeneo matakatifu ya Waislamu? Si ataangamiza wapalestina anaotaka kuwasaidia na kuwanywesha mionzi Jordan na Misri?
Kama kuna la msingi hapa ni kwamba irani inasimama kupigania haki ya kujiunga na klabu ya wenye nguvu za maangamizi.
Tarehe: 3:06:00 AM, Mtoa Maoni:- boniphace
kUNA AYA ANAZUNGUMZIA aFRIKA NA UNYONYAJI WA MATAIFA YA KIGENI KATIKA MADINI. Hivi ndugu Mkapa yuko wapi aweze kusoma barua hii au nani anafahamu e mail yake personal aniwekee hapa nimtumie attachment hii? Na nini afasi ya viongozi wetu katika kusimamia haya ambayo jamaa huyu anatusemea katika barua yake kwa ichaka?
Tarehe: 8:17:00 AM, Mtoa Maoni:- Sultan Tamba
Tarehe: 3:45:00 AM, Mtoa Maoni:-
Brazil has joined the select group of countries with the capability of enriching uranium as a means of generating energy.
A new centrifuge facility was formally opened at the Resende nuclear plant in the state of Rio de Janeiro.
The Brazilian government says its technology is some of the most advanced in the world.
The official opening follows lengthy negotiations with the United Nations nuclear watchdog, the IAEA.
Brazil has some of the largest reserves of uranium in the world but until now the ore has had to be shipped abroad for enrichment - the process which produces nuclear fuel.
In future some of that enrichment will take place in Brazil.
The government says that within a decade the country will be able to meet all its nuclear energy needs.
Brazilian scientists insist their technology is superior to that of existing nuclear powers. They claim the type of centrifuge in use at Resende will be 25 times more efficient than facilities in France or the United States.
Safeguards:
Sensitivity over that technology led to a standoff two years ago with the International Atomic Energy Agency, the UN watchdog.
Keen to protect its commercial secrets, Brazil was reluctant to give inspectors full access to its facilities and politically the negotiations were complicated by simultaneous concerns about Iran's nuclear plans
But in the end Brazil and the IAEA agreed a system of safeguards to ensure that the new facilities would not be channelled into weapons production.
opening at Resende is being hailed as a major step forward in Brazil's development and it comes amid renewed concerns about energy supplies in South America.
Barua hii nitaisoma leo usiku nikishiba ugali na maharage.
Lakini natanguliza msemo huu: "Ni heri kufa ukiwa umesimama kidete kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti".