VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Tuesday, May 23, 2006
JAMANI WATANZANIA!
Dunia imejaa majaribu,dunia tambara bovu,maisha yanataka moyo, hujafa hujaumbika.Misemo ni mingi na inaweza ikajaza nyumba. Kwa mara ya kwanza nimeiona habari hii kwenye blogu ya Michuzi.Nikaamua kuifuatilia zaidi.Matokeo yake ni haya hapa. Pichani ni ndugu zetu ambao hivi sasa wanasakwa.

Cha msingi.Tusiwahukumu kabla mahakama haijafanya kazi yake ingawa ni wazi kwamba habari hizi hazileti picha nzuri kwa jamii yetu,nchi yetu ya Tanzania.Jamani,kulikoni?
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 2:17 PM | Permalink |


Maoni: 4


  • Tarehe: 10:43:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger boniphace

    Kaka haka kahabari kametanuka sasa si kwamba ni kadogo tena ni kakubwa mnoo na kanatisha kukajadili sana. Hii ndiyo picha hasa ya Afrika huku ughaibuni? Nini tunafanya na nini wamefanya hawa ndugu zetu? Je kunahitajika kuwalinda hasa walioko nyumbani wasitiwe nguvuni kweli hasa baada ya kuingia katika tuhuma kama hizi? Hapa ndipo wakati hasa wa kucheza karata yako kila jambo lawezekana kama uko makini!

     
  • Tarehe: 4:10:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Mija Shija Sayi

    Kama kesi hii angepelekewa mwanafalsafa Yesu Mnazareti, bila shaka angewashushua wamarekani kwa kuwaaambia.."kama hamjawahi kuiibia Afrika na muwanyooshee vidole vijana hawa.."

    Jeff nina swali hapa, hivi hizi nchi zinazojiita zimeendelea zinatoa wapi malighafi za kutengenezea kompyuta zao?

    Siwatetei kina Njaidi lakini ukweli utabaki pale pale, nchi za magharibi ndiyo zinazosababisha umasikini Afrika. Leo hii wanaijeria wamefikia tabia waliyonayo kutokana na hayohayo ya kuibiwa malighafi zao.

    Naona umefika wakati sasa kwa Bara la Afrika kulinda mali zake kama wao wanavyozilinda zao na tena tuwe makini na hila zao za kutuchonganisha wenyewe kwa wenyewe ambazo hutuchukulia muda mwingi kupigana huku wenyewe wakiondoka na mali za Afrika.

     
  • Tarehe: 9:54:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Jeff Msangi

    DaMija,
    Ni kweli kwamba bara letu la Afrika linaibiwa utajiri mwingi sana na hawa wenzetu.Lakini nadhani tunaweza kuwa na njia nzuri zaidi ya kulinda vyetu na kufaidi sisi wenyewe.Wenzetu wanakuja na mikataba ambayo sisi bila kujua/au kwa tamaa za wachache wetu malighafi zetu zinachukuliwa.Wanatudanganya kwamba vyetu si bora bali vyao na mambo chungu mbovu.Hatuwezi kuanzisha mapambano nao kwa kuwa "vibaka".Matokeo ya mtindo huu ni kama haya ya kina Njaidi.

     
  • Tarehe: 2:26:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Ni kweli kabisa kama laivyosema jeff hapo chini sio sahihi hata kidogo kupambana kwa njia ya vibaka kisa eti hawa mabepari nao wanaaibia africa, angalia wao wanavyoiba sio kijinga na kipumbavu kama haop vijana walivyofanya na hata hivyo hao vijana hawajaiba kwa maslahi ya taifa waliiba kwa maslahi ya mifuko yao iweje leo waonekane wamefanya la maana

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker