VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Monday, May 15, 2006
QUEBEC CITY!

Kama unajua kidogo historia ya Canada basi utakuwa pia unajua kwamba hii ni nchi inayoundwa na Wafaransa na Waingereza ukiachia mbali wenye nchi yao asilia ambao wengi tunawajua kama Wahindi wekundu. Mpaka hivi leo bado wafaransa wanataka kujitenga ili waunde nchi yao huru kutoka katika Canada ya sasa.

Pichani hilo ni jiji la
Quebec City ambalo linakaliwa zaidi na Wafaransa.Huko lugha ni bonjour tu. Huo mto unaotenganisha jimbo la Ontario na lile la Quebec(Quebec city imo ndani ya Quebec Province) unaitwa Rideau River ambao pembeni yake inaunda Rideau Canal
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 10:50 AM | Permalink |


Maoni: 3


  • Tarehe: 6:20:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mloyi

    Quebec, unaonekana ni mji mzuri sana hasa kwa sisi tusiokunywa pombe ambao tuna muda mwingi wa kufanya shughuli zasizokuwa na maana kwa wanywa pombe.
    Ulivyopachikwa pembeni ya mto na majengo yaliyoundwa kwa ufundi wa hali ya juu sana. Nadhani mnayafaidi sana hayo majengo ambayo nyumbani hayapo.
    Changamoto ni kuyatengeneza hapa nyumbani.

     
  • Tarehe: 1:15:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger boniphace

    hapo Jeff safi sana mto huu pia upo jirani katika na Parliament la Canada pale Ottawa unaweza kuicheki hiyo Quibec, nilifanya hivyo nilipofika huko.

     
  • Tarehe: 8:08:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger MICHUZI BLOG

    nasema hivi; jeff nyumba yako inanoga sana kwa khabari na snepu. kaza buti. nakusoma mara tatu kila siku kama rakaa

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker