
Unaweza kuotea?Hapa ni Arusha,Tanzania maarufu kama A-Town au Toronto,Canada?Unaweza pia otea ni shughuli gani inaendelea hapo?
Tarehe: 7:11:00 AM, Mtoa Maoni:- severine
Tarehe: 9:31:00 AM, Mtoa Maoni:- ARAWAY Media Tanzania
Tarehe: 1:50:00 PM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
kama macho yangu hayanidanganyi hao watu kwa umbali wanaonekana kama watu "wanasabura" Mitumba(Pamba)pale sanawari-Arusha,au manzese-Dar es Salaam!Jeff huko nako wanasabura?