
Mara nyingi ukisikia nchi Canada ikitajwa,hususani ukiwa nchini Tanzania,utasikia "duh nasikia kwamba huko wamejaa wahindi. Kuna ukweli ndani ya msemo huo ila ukweli kamili ni kwamba kuwepo au kutokuwepo na wahindi kunategemea na eneo na eneo,mji na mji.Tabia ya hawa wenzetu kujilundika katika eneo moja( tizama city centre ya Dar-es-salaam) ipo kwenye damu nadhani.Picha hii niliipiga wikiendi iliyopita katika jiji la Brampton,huko kwa kweli wadosi kibao kama unavyoona hawa kalasinga.
Ani baba! wewe nasema sisi wibaya bana! Eniwei, hapa Kolumbasi mpaka wana ligi yao ya kriketi..