VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Thursday, July 20, 2006
AMARA KANTE

Huyu anaitwa Amara Kante. Nilimuona siku chache zilizopita akifanya tambiko na ngoma zake kwenye tamasha la AfroFest mwaka huu hapa Toronto. Ukisikia amekuja katika mji uliopo nenda kamtazame,hususani kama wewe ni mpenzi wa ngoma.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 12:08 PM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 11:14:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger MICHUZI BLOG

    Jeff. Huyu Amar Kante anatokea nchi ipi na midundo yake ni kama ya sindimba ama tokomire?

     
  • Tarehe: 4:02:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger Jeff Msangi

    Michuzi,
    Amara Kante anatokea Ivory Coast ila anaishi kule Marseilles,Ufaransa.Anaendesha shule kubwa sana ya kufundisha ngoma huko.Midundo yake nadhani ni sindimba kubwa.

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker