YESTERDAY HAS GONE FOREVER!TOMMOROW WILL NEVER ARRIVE,BUT TODAY IS YESTERDAY'S TOMMOROW WITHIN YOUR REACH.WHAT ARE YOU DOING WITH IT?
Thursday, July 20, 2006
AMARA KANTE
Huyu anaitwa Amara Kante. Nilimuona siku chache zilizopita akifanya tambiko na ngoma zake kwenye tamasha la AfroFest mwaka huu hapa Toronto. Ukisikia amekuja katika mji uliopo nenda kamtazame,hususani kama wewe ni mpenzi wa ngoma.
Michuzi, Amara Kante anatokea Ivory Coast ila anaishi kule Marseilles,Ufaransa.Anaendesha shule kubwa sana ya kufundisha ngoma huko.Midundo yake nadhani ni sindimba kubwa.
Jeff. Huyu Amar Kante anatokea nchi ipi na midundo yake ni kama ya sindimba ama tokomire?
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteAmara Kante anatokea Ivory Coast ila anaishi kule Marseilles,Ufaransa.Anaendesha shule kubwa sana ya kufundisha ngoma huko.Midundo yake nadhani ni sindimba kubwa.