Tarehe: 6:18:00 AM, Mtoa Maoni:- Christian Bwaya
Tarehe: 10:29:00 AM, Mtoa Maoni:- boniphace
jEFF KAZI NZURI ILA UNAPOONGANISHA SAFARI MOJA KUELEKEA NYINGINE UMESAHAU MTIRIRIKO mzuri wa kututoa barabara ya Manzese na kisha kutuleta tena ya Posta, otherwise ni kazi inayofurahisha utadhani ulikuwepo Bongo. hUU NDIO UBAYA WA bONGO, HAPABADILIKI YAANI UNAWEZA KUKUTA HAYA HAYA BAADA YA MIAKA KUMI NA TANO IJAYO.
Tarehe: 9:08:00 AM, Mtoa Maoni:- mloyi
Malaika kalewa pombe, au pombe ya kienyeji? maana Dar ziko nyingi sana! Hujatuambia jinsi barabara ya Lowassa inavyojengwa kwa kutumia teknologia ya kizamani sana, siamini kama katika karne hii barabara yenye kutumiwa sana iwe na njia moja kwenda na nyingine kurudi, tunatamani kuona "highway".
Ulipofika manzese kwanini hukukata kushoto au kulia, kwani hukuona watu wengi wanaelekea huko? Umekosa uroda!
Juzi na jana watu wa ITV walijaribu kuionyesha umma mambo ya uwanja wa fisi ,ambao ulipita karibu yake lakini uliogopa kama wengi kuingia kujionea na kujumuika, kilikuwa ni kioja kikubwa sana kwa wengi.
Uholanzi kila kitu ni ruksa kuliko alivyokuwa anaturuhusu mzee ruksa, lakini huku pia kuna mambo ambayo hakuna aliyeyaruhusu lakini yanafanyika waziwazi bila serikali kkuingilia.
Nchi hii ni ya wakulima ,jaribu kuongeza umbali wa safari yako labda kuelea morogoro au rufiji ujionee uwiano wa wafanyabiashara ndogondogo na wakulima.
Tembea ujionee. Hongera kwa kupanua mijadala.
Mimi nafikiri ukichunguza kwa makini sana utagundua kuwa Dar ziko tatu. Na pengine zikawa nne. Hebu endelea kutembea tembea bwana Jeff unaweza kulibaini hilo. Nisizitaje Dar hizo utajionea mwenyewe. Azawaiz karibu sana!