VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Wednesday, August 09, 2006
AFRICAN GUITAR SUMMIT
Hawa ni baadhi ya wanaojulikana kwa pamoja kama African Guitar Summit. Ni kwamba wanacharaza magitaa kuliko kawaida.Hapa walikuwa wakifanya vitu vyao kwenye tamasha la AfroFest hapa Toronto mwezi uliopita. Ukiikuta CD yao popote ulipo na kama unapenda muziki wenye nakshi za magitaa na ngoma basi usisite kuinunua.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 11:42 AM | Permalink |


Maoni: 5


  • Tarehe: 1:37:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Jeff, ina maana kuwa hawa jamaa wanacharaza nyuzi hata kuliko hata Komandoo Hamza Kalala au marehemu Moshi William na Ndala Kasheba?

    Halafu Jeff, inaelekea hapo Toronto shughuli za sanaa na utamaduni ziko mbele sana maana kila mara unatuletea habari kama hizi. Hivi ile tovuti ya muziki uliyoniambia ni ipi tena?

     
  • Tarehe: 5:39:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger MICHUZI BLOG

    Jeff, nakupongeza kwa habari na picha. Najisikia niko Toronto kila nikipita hapa. U mzima lakini?

     
  • Tarehe: 6:26:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    wajameni amasisheni wana blog waweze kuandika habari mara kwa mara na ikiwamo wewe jeff. tunaitaji kupata habari toka kwenu.

     
  • Tarehe: 12:36:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Ndesanjo,

    Itafute hiyo cd! Ninaipendekeza kwa dhati. Miziki yake itakutuliza tangu nyimbo ya kwanza hadi ya mwisho. Adam Solomoni atakurudisha nyuma kwenye ule mtandao wa Wanyika ukazisikie nyuzi za kina Marehemu Wilson na George Kinyonga, Marehemu Profesa Omar Shabani, na Marehemu John Ngereza. Kwa ufupi, Africa Guitar Summit ni mkusanyiko wa all stars.

    F MtiMkubwa Tungaraza.

     
  • Tarehe: 4:13:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger Simon Kitururu

    Nakubali hapo Toronto Mzee Jeff ni kiboko kwa mchanganyiko wa matamasha ya kila aina.Nimeisikiliza Africa Guitar Summit na nimekoshwa na roho!

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker