

Ukisema ulikwenda kutembea,kuhudhuria mkutano/kongamano,kusoma au kuishi Canada hususani kwenye jimbo la Ontario basi si ajabu ukaulizwa kama uliwahi kupanda/kutembelea CN Tower au kama ulikwenda kuyaona maporomoko ya maji ya Niagara(Niagara Falls). Kwa wale ambao hamjawahi kuyaona au kufika hapo Niagara leo nimeona niwaletee picha ya maporomoko haya nikitumaini kwamba wikiendi yako ilikuwa njema.
Maporomoko ya niagara ni makubwa kuliko ya victoroa falls?( samahani kwa ku-genisha mali asili ya waafrika.)