VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Sunday, August 27, 2006
NIAGARA FALLS.


Ukisema ulikwenda kutembea,kuhudhuria mkutano/kongamano,kusoma au kuishi Canada hususani kwenye jimbo la Ontario basi si ajabu ukaulizwa kama uliwahi kupanda/kutembelea CN Tower au kama ulikwenda kuyaona maporomoko ya maji ya Niagara(Niagara Falls). Kwa wale ambao hamjawahi kuyaona au kufika hapo Niagara leo nimeona niwaletee picha ya maporomoko haya nikitumaini kwamba wikiendi yako ilikuwa njema.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 3:09 PM | Permalink |


Maoni: 3


  • Tarehe: 4:34:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mloyi

    Maporomoko ya niagara ni makubwa kuliko ya victoroa falls?( samahani kwa ku-genisha mali asili ya waafrika.)

     
  • Tarehe: 11:52:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Jeff Msangi

    Mloyi,
    Kwa urefu Victoria Falls ni marefu kushinda haya ya Niagara ila kwa ukubwa/upana Niagara Falls ni makubwa kushinda Victoria.

     
  • Tarehe: 6:00:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Mloyi, maporomoko wazungu waliyoyaita Maporomoko ya Vikitoria yanaitwa Mosi O Tunya! Yaani moshi utoao mlio kama radi.

    Jeff, naona unaelekea kuwa Michuzi mdogo siku hizi. Kakupa kizizi nini? Unarembesha kazi zako vizuri sana kwa mapicha. Tunafaidi. Endelea mwanakwetu.

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker