VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Monday, August 14, 2006
XVI INTERNATIONAL CONFERENCE ON HIV/AIDS



Mkutano wa 16 wa Ukimwi kwa mwaka 2006 umeanza rasmi jana hapa Toronto,Canada. Zaidi ya washiriki 24,000 kutoka kila pande ya dunia,ikiwemo Tanzania wanashiriki mkutano huu. Ujumbe wa mwaka huu ni kwamba "muda umewadia",wakati wa kuonyesha uwajibikaji kwa vitendo ndio huu. Ninahudhuria baadhi tu ya kongamano nyingi zilizoko kwenye mkutano wote ambao utafanyika kwa takribani wiki moja. Pichani ni jana kwenye uzinduzi rasmi ambapo watu mashuhuri kama Bill Gates na mkewe Melinda, mwanamuziki Alicia Keys, mwigizaji wa sinema wa Hollywood Richard Gere wa Gere Foundation nk walikuwepo. Uzinduzi huu ulifanyikia ndani ya Rogers Centre hapa Toronto. Nimeandika zaidi kuhusu habari hii kwenye blog yangu ya kimombo!

 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 8:29 PM | Permalink |


Maoni: 3


  • Tarehe: 4:35:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Jeff,
    Baada ya kusoma habari za mkutano huo wa Ukimwi nimekutana na habari inayoshangaza wana sayansi kuhusu watu ambao ingawa wana Ukimwi haumwi. Soma hapa:
    http://tinyurl.com/zglmm

     
  • Tarehe: 4:37:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Halafu Jeff: tafadhali mwambie Bill Gates kuwa namtafuta sana maana nina mpango wa kuanzisha NGO. Nasikie eti anatoa hela nje nje. Mwambie tuwasiliane!

     
  • Tarehe: 9:56:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Jeff Msangi

    Ndesanjo,
    Nimefikisha ujumbe wako kwa Bill Gates,amesema wewe andika tu pendekezo la mradi wako umpelekee.Jifanye unajali sana ustawi wa jamii yako,jidai wewe ndio mtetezi mkubwa wa mifuko yako.

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker