Tarehe: 1:10:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 8:35:00 AM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
Naufuatilia mkasa huu kwa karibu.Ila kwa hivi sasa inaonyesha kwamba jamaa alikuwa mmojawapo wa hili kundi linalojiita vampires.Yaani wao wanadhani maisha ni kama ushetani hivi na kila wanachokiona kwenye video games wanataka kujaribu in real life.Nyumbani Tanzania hawa tungewaita "machizi".Hapa Canada wanayo majina ya kisayansi.Tovuti yao ni www.vampirefreaks.com na huyu jamaa ambaye mpaka sasa haieleweki kama alijiua mwenyewe au alipigwa risasi na polisi yumo,jina lake halisi ni Kimveer Gill alikuwa ana umri wa miaka 25.Mtu mmoja alikufa palepale na wengine 11 wamelazwa huku wawili hali zao zikielezewa kuwa mbaya.
Tarehe: 3:15:00 AM, Mtoa Maoni:- Simon Kitururu
Nina rafiki mmoja hapo Penticton Canada ambaye hata jina anajiita Vampiress. Hata siku moja simuelewi na siwezi kumtembelea katika maisha yangu.Nangoje anipe dondoo kuhusu anafikiria nini kutokana na tukio hili. Urafiki wetu umetokea kwa sababu na ukweli nilikuwa sijawahi kukutana na mtu ambaye hatofautishi real life na fantacy before.Hapa duniani tuna macizi kibao, lakini inasikitisha wakifikia kuathiri na kuua watu wengine wasio fuata uchizi wao
Tarehe: 3:21:00 AM, Mtoa Maoni:- mwandani
Jeff tupe breaking news za hapo canada (Montreal) tunaona mtu ana fyatua risasi ovyo ovyo ktk Dawson College nini chanzo? tupe habari mzee!! Na amejipiga mwenyewe risasi!! inakuwaje?
13/09/2006 @ 19:03GMT