VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Friday, September 08, 2006
WANAUME WA BLUU

Wiki chache zilizopita niliwaona hawa jamaa wanaoitwa wanaume wa bluu .Ukisoma historia yao utagundua kwamba walianza jamaa watatu kimchezomchezo tu. Historia yao siwezi kuitofautisha na ile ya jamaa fulani pale jijini Dar ambao hupita baa baada ya baa,mtaa baada ya mtaa,wakiwachekesha watu huku wamejipaka masizi na kuweka vitambi vya matambara,tai za ajabu ajabu nk. Pengine wale tunaweza kuwaita Dark Men, kwa sababu wao wanatumia rangi ya masizi ambayo ni nyeusi.

Tanzania kuna vipaji vingi kupita kiasi. Hili hunipa maswali na aibu ndani ya kichwa changu. Hivi kwanini tunashindwa kuviendeleza vipaji? Hapa naongelea sisi wananchi,wenye nchi, kwa sababu kimsingi serikali imeshashindwa.Miaka zaidi ya arubaini bila muelekeo wa maana katika kuendeleza vipaji vya kisanii hakuna maana nyingine zaidi ya kushindwa. Na je,sisi tuliopo ughaibuni,sisi ambao tunaona jinsi gani vikundi kama hawa wanaume wa bluu wanavyofanya kazi tunashindwa nini kuibua vipaji kama hivyo kutoka nyumbani na kuvitangaza kimataifa?
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 3:07 PM | Permalink |


Maoni: 4


  • Tarehe: 1:10:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Jeff tupe breaking news za hapo canada (Montreal) tunaona mtu ana fyatua risasi ovyo ovyo ktk Dawson College nini chanzo? tupe habari mzee!! Na amejipiga mwenyewe risasi!! inakuwaje?

    13/09/2006 @ 19:03GMT

     
  • Tarehe: 8:35:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Jeff Msangi

    Naufuatilia mkasa huu kwa karibu.Ila kwa hivi sasa inaonyesha kwamba jamaa alikuwa mmojawapo wa hili kundi linalojiita vampires.Yaani wao wanadhani maisha ni kama ushetani hivi na kila wanachokiona kwenye video games wanataka kujaribu in real life.Nyumbani Tanzania hawa tungewaita "machizi".Hapa Canada wanayo majina ya kisayansi.Tovuti yao ni www.vampirefreaks.com na huyu jamaa ambaye mpaka sasa haieleweki kama alijiua mwenyewe au alipigwa risasi na polisi yumo,jina lake halisi ni Kimveer Gill alikuwa ana umri wa miaka 25.Mtu mmoja alikufa palepale na wengine 11 wamelazwa huku wawili hali zao zikielezewa kuwa mbaya.

     
  • Tarehe: 3:15:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Simon Kitururu

    Nina rafiki mmoja hapo Penticton Canada ambaye hata jina anajiita Vampiress. Hata siku moja simuelewi na siwezi kumtembelea katika maisha yangu.Nangoje anipe dondoo kuhusu anafikiria nini kutokana na tukio hili. Urafiki wetu umetokea kwa sababu na ukweli nilikuwa sijawahi kukutana na mtu ambaye hatofautishi real life na fantacy before.Hapa duniani tuna macizi kibao, lakini inasikitisha wakifikia kuathiri na kuua watu wengine wasio fuata uchizi wao

     
  • Tarehe: 3:21:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mwandani

    Hawa machizi wa namna hii sijapata kuwaelewa hata kidogo, Watu wanaopenda mambo ya kufa kufa tu.

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker