Monday, October 30, 2006
TUJENGE UTAMADUNI WA KUWAJIBIKA TUNAPOKOSEA
Nadhani wengi wenu mnajua kwamba mimi ni mwanasafu wa gazeti la Tanzania Daima siku ya jumapili. Kwa wale ambao hamkupata nafasi ya kusoma nilichoandika jumapili ya jana, unaweza kupata waraka huo kwa kubonyeza hapa. Waraka umebebwa na kichwa cha habari kilichopo hapo juu. Nakutakia wiki njema.
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 9:18 AM
|
Permalink |
-
Jeff!
Nilisoma fikra zako katika Tanzania Daima la Jumapili hii. Ni fikra zenye kujenga.
Kesho keshokutwa jaribu kunipitia kwenye blogu yangu uone picha za wananchi wale wa Mwanyamala Bwawani na mazingira wanayoishi.
-
Maggid naomba unitumie blog yako kupitia k_kilonzo@hotmail.com
Jeff!
Nilisoma fikra zako katika Tanzania Daima la Jumapili hii. Ni fikra zenye kujenga.
Kesho keshokutwa jaribu kunipitia kwenye blogu yangu uone picha za wananchi wale wa Mwanyamala Bwawani na mazingira wanayoishi.