Tarehe: 4:40:00 PM, Mtoa Maoni:- Mija Shija Sayi
Tarehe: 4:38:00 PM, Mtoa Maoni:- Simon Kitururu
Tatizo kubwa nipale ambapo mtu atasubiri kuwa mtu mwingine atafanya. Watu mara nyingi hujaribu kujitoa katika makabiliano ya mambo magumu.Tunajipa moyo kuwa mwingine atafanya. halafu wengi tunadai kuwa maisha ni magumu kiasi kwamba ni vigumu kupata muda wakupigania Taifa wakati tumbo li tupu na shilingi haijulikani itapatikana wapi.Lakini hali halisi inachosha sasa. CHa muhimu ni kuweka wazi mambo ili kuweza kupigania mambo kwa uhakika na mwelekeo utakaotukomboa.
Tarehe: 5:17:00 PM, Mtoa Maoni:-
Ndugu Jeff
Usitafute wa kusimama nawe, wewe simama na wengine watasimama. Ukianza kutafuta na wengine wataanza kutafuta sasa paka lini tutatafuta. Umemsikia Kitururu alivyosema? Kila mtu anategemea mwingine afanye. Kwa hiyo cha muhimu wewe simama na ukifanikiwa kusimama na wengine wakiona nao watasimama na kwa msingi huo wengi watasimama na naamini kwa hili wote tutasimama. Basi muda umefika tusiulize maswali mimi na wewe tusimame. Umesimama tayari ndugu Jeff mimi tayari....
Tarehe: 8:42:00 AM, Mtoa Maoni:- Jeff Msangi
Tarehe: 3:25:00 PM, Mtoa Maoni:- Egidio Ndabagoye
Tarehe: 3:32:00 PM, Mtoa Maoni:- MICHUZI BLOG
Tarehe: 11:34:00 PM, Mtoa Maoni:- luihamu
Rastafarian imejaribu kusema ukweli wa hali halisi Afrika lakini cha kushangaza,watu wanachukulia kama wavuta bangi lakini mambo yanatokea,sisi waafrika tusipokuwa makini tutakiona cha mtema kuni.Binadamu tumebadilika tunauza utu wetu kwa sababu ya tamaa,tusipo simama nakupiga kelele,tutakiona.Jah live.
Tarehe: 4:36:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 4:43:00 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: 11:41:00 PM, Mtoa Maoni:- luihamu
Jeff, sisi raia ndiyo tumesababisha hali hii! tunatizama bila kukemea wanayotufanyia na ndiyo sababu wanapata jeuri.
Hivi kweli wananchi tukimsimamia kidete mbunge wetu kiasi cha kutaka kumpotezea kazi yake kwamba tunataka shule au barabara nzuri jimboni mwetu unadhani hatafanya?
Haya kazi kwetu wananchi, kusimama pamoja na Jeff au kumwacha peke yake tukidhani anajisumbua bure.