VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Tuesday, January 30, 2007
MSOME MAKENE NA WARAKA WAKE KWA JK!
Uandishi wa habari wa Tanzania mara nyingi umekuwa ukibezwa kwa kuwa wa "kioga".Uandishi wa habari kama mhimili muhimu katika maendeleo ya taifa imekuwa ni kama njozi isiyoisha kiasi kwamba tofauti kati ya ndoto na ukweli imekuwa ngumu kutambulika.Dhihaka hizo ndizo zilizomfanya mchora katuni,mtanzania anayeishi Kenya kuibua mjadala wa aina yake alipoakisi kwamba waandishi wa habari wa Tanzania "wanalamba" viatu vya mheshimiwa raisi. Mjadala mkali sana ulizuka lakini mwisho wa siku mwenye masikio alisikia na mwenye macho aliona.

Boniface Makene,mwanablogu wa siku nyingi,rafiki yangu,siku zote amekuwa akipiga vita suala la kuandika "porojo" huku zikisindikizwa na woga.Ukimsoma Makene kwa makini utagundua kwamba anapenda kutumia kalamu yake ya uandishi kama silaha halisia katika kuelimisha,kukosoa na kuelekeza na pia hata kuburudisha inapobidi. Leo Makene amemuandikia raisi waraka mzito,wenye tungo makini.Tafadhali usome waraka huo kisha fungua mabano.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 1:22 PM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 8:01:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mwandani

    Nimepita kwenye kasri, habari aliyoandika ni murua sana. Ahsante kwa kutubonyeza.

     
  • Tarehe: 5:24:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Nimepita pale na kuacha maneno yangu maana makala ile nimesema imeonyesha moja ya silaha tulizonazo dhidi ya uozo katika viambaza vya utawala: ujasiri na umakini.

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker