VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Wednesday, March 21, 2007
UMASIKINI HUU
Nilipoiona picha hii nilidhani ndani ya jeneza hakuna kitu mpaka nilipopata maelezo ya kina kwamba ndani ya jeneza hilo kuna mwili wa marehemu ambaye ni rafiki ya hao jamaa waliolibeba. Walipoulizwa kulikoni maelezo waliyoyatoa yanasikitisha;walisema rafiki yao amefariki na hawana hela ya kuusafirisha mwili wake kwenda kijijini kwao! Hayo yalitokea huko Democratic Republic of Congo (DRC)

Haya ni matokeo halisi ya hali duni barani Afrika jambo ambalo kwa kiasi kikubwa linasababishwa na uongozi mbovu unaombatana na sera mbovu na wizi wa mali ya umma.
Picha kwa hisani ya Cedric Kalonji anayoblog kwa kifaransa.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 9:08 AM | Permalink |


Maoni: 2


  • Tarehe: 3:27:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Jeff Msangi nimekupata

    Jna katika Mwananchi Jumapili
    5 5 5

     
  • Tarehe: 6:19:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Huu umasikini, kama kweli viongozi watakuwa makini na waache wivu, na kutoa dira au kutekeleza sera za UWEZESHO WA KWELI nina imani Watanzania/Waafrica tutajikwamua, kutoka katika lindi hili la umaskini mkubwa.

    Kama makala yako ya jana katika gazeti la mwananchi inavyonena, nina imani viongzi wapo na wenye uwezo mkubwa sana.

    Tatizo kubwa la sasa Mfano hapa Tanzania ni kwamba bado viongozi ni walewale, wenye sera mgando samahani kwa hili neno mgando. Nasema ngando kwa sababu labda wanapo hutubia unaona kweli haya ni maendeleo lakini hazitekelezwi.

    Sababu kubwa ni KULINDANA, hasa kwa MAOVU


    5 5 5

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker