Tarehe: 3:59:00 AM, Mtoa Maoni:- MICHUZI BLOG
Tarehe: 5:45:00 AM, Mtoa Maoni:- mwandani
Tarehe: 6:17:00 AM, Mtoa Maoni:-
unanikumbusha siku moja darasani tuko watanzania,waganda na wazambia.basi mwalimu akatuuliza vivutio vya nchi zetu,ilikuwa rahisi sana kwa watanzania kujibu ila waganda na wazambia walianza kukun vichwa wajibu nini.kwa kifupi tumebalikiwa kupita kawaida.Swali:mbona hatuendelei pamoja na rasilimali zote hizi
Tarehe: 7:05:00 AM, Mtoa Maoni:- mwandani
Tarehe: 4:42:00 AM, Mtoa Maoni:- Mjengwa
Tarehe: 12:18:00 PM, Mtoa Maoni:- Simon Kitururu
Naamini kabisa kuna kizazi kitakuja Tanzania nakushindwa kabisaa kutuelewa kwanini Tanzania inaitwa nchi masikini wakati baraka zake na utajiri wake uko nje nje namna hii!Huwa nacheka mara nyingine ni kikatiza katika baadhi ya nchi na kuona jinsi wanavyo lazimisha vivutio vyao vya asili kuwa vivutio.Lakini ipo siku
Tarehe: 11:05:00 PM, Mtoa Maoni:-
Jeff!
aisee hii ni bonge la picha. mpe hongera ebby. basi hapo ingenogab kungekuwa na ndama mweupe akila majani kwa pembeni, ama mbuzi akinywa maji kuleta uhai. lakini bado hiyo peke yake ni postikadi