VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Saturday, May 12, 2007
MAWE YA MWANZA!

Ukiambiwa uzitaje nchi ambazo zimejaliwa kuwa na mandhari nyingi tofauti na za aina yake usisite kuitaja nchi yetu ya Tanzania. Kama kuna mtu anabisha anyoshe kidole. Pichani ni mawe yaliyoko pembezoni mwa Ziwa Victoria jijini Mwanza. Hivi tukilisukuma lile jiwe pale juu litaanguka? Picha kwa hisani ya Ebby Mkandara, mkazi wa hapa Toronto aliyetembelea kanda hiyo ya ziwa hivi karibuni.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 5:37 PM | Permalink |


Maoni: 7


  • Tarehe: 3:59:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger MICHUZI BLOG

    Jeff!

    aisee hii ni bonge la picha. mpe hongera ebby. basi hapo ingenogab kungekuwa na ndama mweupe akila majani kwa pembeni, ama mbuzi akinywa maji kuleta uhai. lakini bado hiyo peke yake ni postikadi

     
  • Tarehe: 5:45:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mwandani

    Hujafika kwetu ukerewe bila kuona hayo mawe. Picha swafi.

     
  • Tarehe: 6:17:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    unanikumbusha siku moja darasani tuko watanzania,waganda na wazambia.basi mwalimu akatuuliza vivutio vya nchi zetu,ilikuwa rahisi sana kwa watanzania kujibu ila waganda na wazambia walianza kukun vichwa wajibu nini.kwa kifupi tumebalikiwa kupita kawaida.Swali:mbona hatuendelei pamoja na rasilimali zote hizi

     
  • Tarehe: 7:05:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger mwandani

    nimeingalia tena hii picha naona kama kina cha maji kimepungua, hiyo mistari ya kwenye mawe inaonyesha maji yanarudi chini. tuombe mvua!

     
  • Tarehe: 4:42:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Mjengwa

    Watanzania tuna mengi mazuri ndani ya nchi yetu. hatuyajui, tunadhani utalii ni wa Wazungu kuja kwetu tu. Dhana ya utalii wa ndani haipo kwenye bongo zetu. Inasikitisha.

     
  • Tarehe: 12:18:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger Simon Kitururu

    Naamini kabisa kuna kizazi kitakuja Tanzania nakushindwa kabisaa kutuelewa kwanini Tanzania inaitwa nchi masikini wakati baraka zake na utajiri wake uko nje nje namna hii!Huwa nacheka mara nyingine ni kikatiza katika baadhi ya nchi na kuona jinsi wanavyo lazimisha vivutio vyao vya asili kuwa vivutio.Lakini ipo siku

     
  • Tarehe: 11:05:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Unaufahamu wimbo (au "mwimbo" kama jamaa fulani wanavyopenda kusema) wa dokta Remmy anaosema kuwa mji wa Mwanza una milima ya mawe. Maajabu fulani haya ya kijiografia.

    vipi, eneo hili halijabinafsishwa?

     
   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker