VIJIMAMBOZ PROUD AFRICAN KASRI LA MWANAZUO BONGOCELEBRITY NKYA MAWAZO NA MAWAIDHA JIKOMBOE MIRUKO NDABULI SHAMIM ZEZE DAMIJA MATERU MLOYI CHEMI CHE MPONDA BAKANJA MTAFITI LUKWARO MSANGI MDOGO MARK MSAKI DIRA YANGU MWAIPOPO KONA YANGU FURAHIA MAISHA YAKO DAMIJA MICHUZI FATHER KIDEVU MWANDANI NGURUMO FATMA KARAMA ZAINAB OMEGA NGOLE YAHYA CHARAHANI JARIDA LA UGHAIBUNI NYEMBO BWAYA BHALEZEE JUNGU KUU WATOTO WETU BLG BROTHER SAA YA UKOMBOZI NURU AKILINI TAFAKARI ZA MAISHA ALBERT WILSON UCHUMI MIDRAJI IBRAHIM Lucassano CHESI HAKI NGOWI KISIWA CHA AMANI Innocent Kahwa SULTAN TAMBA SIMON KITURURU MAVIZO MUSA NGARANGO KIJIWENI(NED) WATANZANIA JADOUNG METTY MAGGID MJENGWA SAHARAN VIBE MWENYE MACHO ABDALLAH MRISHO MYAFRICA SHERIA NA MAVAZI
NEW VISION UGANDA MONITOR UGANDA KENYAN NATION MEDIA EASTANDARD FROM AFRICA BUSINESS WEEK ALL AFRICA
MAGAZETI YA IPP UHURU NA MZALENDO BUSINESS TIMES DAILY NEWS TANZANIA DAIMA MWANANCHI BUNGE LA TANZANIA SERIKALI YA TANZANIA IPS INTERNATIONAL
AFRIKA HURU NINI KILITOKEA PAMBAZUKA DUNIA YETU GADO CARTOONS
SEND ME AN E-MAIL
Wednesday, December 31, 2008
KHERI YA MWAKA MPYA

Ingawa hatujaonana hapa kijiweni kwa muda kiasi,natumaini kwamba hujambo na Mungu amekujalia kuuona mwaka huu wa 2009 ukiwa mwenye siha njema kabisa.Nikutake radhi kwa kunikosa kwa muda mrefu.Mipangilio ya kiutendaji,majukumu,afya,familia na mambo kama hayo ndio chanzo cha kimya changu.

Kwa sababu huu ni mwaka mpya,basi bila shaka nitajitahidi kutimiza lengo hili la kuandika hapa mara kwa mara kadri nitakavyoweza.Ingawa naendesha blog zingine,blog hii ya harakati inabakia kuwa lulu kwangu.Hapa ndipo nilipoanzia safari yangu ya ku-blog.Hapa ndipo cheche(kama zipo) za mawazo na mtizamo wangu kijamii zilipoanza kuonekana rasmi.Siwezi kupakacha kamwe.

Mwaka mpya huwa ni wakati wa malengo mapya na mwelekeo mpya.Kila binadamu ana malengo yake hapa duniani.Mimi nina malengo yangu na wewe pia una yako.Kila kukicha huwa tunajitahidi kuyatimiza.Tunapasua vichwa kujaribu kuyatimiza malengo yetu.Ndio maisha.

Bila shaka na wewe umeshaketi chini na kujiuliza swali hili;ninataka kutimiza malengo gani mwaka huu?Je ni kurudi shule kuongeza ujuzi?Je ni kuoa au kuolewa?Je ni kujitolea zaidi katika jamii yako?Je ni kutunza na kulinda mazingira?Msururu wa malengo unaweza kuwa mkubwa.Kama kutimiza malengo fulani fulani ndio mkakati wako wa mwaka huu basi zingatia ushauri ufuatao;
  • Weka malengo yanayotimizika au yenye uhalisia-Jiangalie ulipo,angalia vitendea kazi ulivyonavyo,tizama kwa makini ujuzi ulionao kisha yapime vizuri malengo yako.
  • Jiulize swali au maswali;Nitayatimizaje malengo yangu?Ukishafanya hivyo jiwekee utaratibu wa jinsi ya kutimiza malengo yako.Wazungu wanasema weka vyema Action Plan yako.
  • Nenda taratibu-Mwaka ndio kwanza umeanza,yakaribie malengo yako kwa mwendo wa taratibu.Usiwe na haraka wala pupa.Si unakumbuka kwamba mambo mazuri hayataki haraka?
  • Usiogope kurekebisha malengo-Kadri mwaka unavyoanza kusonga mbele,unaweza kugundua kwamba huenda usiweze kutimiza malengo fulani.Hiyo inawezekana kutokea kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kiuchumi,kiafya au kibinafsi.Usihofu kurekebisha malengo yako.
  • Usiogope kushindwa-Yawezekana kabisa ukashindwa kutimiza malengo fulani fulani.Sababu zaweza kuwa kama hizo nilizozitaja hapo juu.Usiogope.Cha muhimu ni kujaribu na kujaribu na kujaribu.Jitahidi kadri unavyoweza.Nina uhakika ukijaribu utafanikiwa kwa hiyo mwisho wa siku hadithi ya kushindwa wala haitokuwepo.
  • Omba msaada inapobidi-Yapo mambo mengine ambayo hutoweza kuyatekeleza peke yako.Hilo linapotokea,usiwe mgumu kuomba msaada.
Kwa msaada zaidi unaweza kutumia tovuti kama ya mygoals.com.Nakutakia kila la kheri katika mwaka huu wa 2009.Tutaendelea kukumbushana.
 
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 8:35 PM | Permalink |


Maoni: 7


  • Tarehe: 9:29:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger Fita Lutonja

    Ni kweli kabisa kuwa tunatakiwa kuwa watu wa malengo ila tatizo linalotusumbua ni pale unapoweka malengo yako halafu baada ya muda unabadilisha malengo tena kutokana na kukoswa labda mtaji wa kufikia ulipopanga.

     
  • Tarehe: 6:48:00 PM, Mtoa Maoni:- Blogger Simon Kitururu

    Siye wadau wa kijiwe hiki hatuachi kupitia kukusanya busara kibao zilizopo hapa.Nimegundua kuna watu husahau kuwa kwa kwenda kwenye kumbukumbu katika blogu hizi , unaweza kujikusanyia dhahabu kibao zilizopo tayari badala ya kungoja tu kitu kipya kiandikwe. Tuko Pamoja!

     
  • Tarehe: 8:36:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Decide to be a good person who will not be evil.
    Inherent in the offer of clone hosting is a clue:::"Earn" by hurting others. This violates this vow, causing people to incurr evil, and the clue you need to avoid it. Sadly, as young people too many are still corrupted, still unenlightened and make the mistake when offered.
    Only innocent pure children ascend into heaven, while evil is relegated to entering clone hosting, where they are reincarnated as lesser life forms. One day the Christian Rapture will be used as a "consolation prize", and usher in the era of compensation according to the Bible:::1000 years with Jesus on Earth.
    Everlasting life with Jesus, but only for true believers:::Placement to suffer on the next Planet Earth punishment for worshipping a false god.

    "Some people are evil." This is the gods fulfilling people's history by pushing them into that legacy. This is the gods accepting culpability and blame with their participation.
    As we devolve and approach The End the gods transition to temptation, deceiving them into thinking they are "earning", allowing them to wash their hands of culpability. As this occurrs for more of us in society the gods are preparing for the Apocalypse, for when The End comes the gods will not be to blame for the result.
    The disfavored think the opposite, that now that they are participating they have favor, and they will live forever because of it.

    1.14
    9:20a
    Talk of Republicans unwillingness to raise the debt ceiling. They insist on spending cuts.
    As inefficent as government has been allowed to become perhaps we should begin with the size of government and look to their own support staff. Sacrifice needs to be made by all. I am concerned there is nepotism and favoritism occurring in these support jobs, and the size gets out of hand because of it. I would expect these Republicans would not be willing to look within their own offices.
    Federal and state governments is very much like the farmer and his water allocation:::To continue to achieve increasing allocations they would rather discharge the water rather than report underuse.
    Perhaps if I worked at the Department of Education in Pleasant Hill some progress could have been made, a framework allowed by this preditory DM. But watching them instruct the clone host fakes in the Federal government to hold out and force the consservative Democrat Obama to look bad illustrates teh Antients have made up their minds and intend to force it.

    The gods may share some values of the conservatives (mostly good, a little evil), with the exception of capitalism, warmongering and environmental degredation, but they also share in the economic degredation of the conservatives which will bring the United States to bankrupcy and anarchy. It initiated with Ronald Reagan taking the National Debt from $1T to $6T.
    And me, the hundred billion dollar man, will have to meekly ask for a nice apartment (conservative timeshare dream).
    As long as the gods have this vested interest of the Situation they are calling the shots. They order all proceedings to ensure they get what they want. This is not to say they will transistion when it is over, but I suspect this final absolution of culpability is necessary for them to completely wash their hands of Earth in preparation for the Apocalypse.

    The gods gave you AIDS in Africa to correct your promiscuous sexual behavior, just as they did with the homosexuals in the United States in the 1980s. They used those who destroyed life on Planet Earth to do their legwork, as they did with most other important elements. This way they managed their culpbaility, are not to blame and can walk away cleanly.

     
  • Tarehe: 5:04:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous vimax canada

    thanx for sharing nice blog information

     
  • Tarehe: 7:01:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous alat bantu sex

    thank you sir for the news you give this. really very good indeed. and I want to add a little bit of information specifically for adult men and women.

     
  • Tarehe: 7:34:00 AM, Mtoa Maoni:- Anonymous Celana Hernia

    Nice blog and article, thanks for sharing. However want to statement on few common issues, The website taste is great, the articles is in point of fact excellent

     
  • Tarehe: 6:24:00 AM, Mtoa Maoni:- Blogger lolyta

   
 
Copyright 2006 © JEFF MSANGI. All Rights Reserved
 
Idadi ya watu Idadi ya watu Idadi ya watu
eXTReMe Tracker