YESTERDAY HAS GONE FOREVER!TOMMOROW WILL NEVER ARRIVE,BUT TODAY IS YESTERDAY'S TOMMOROW WITHIN YOUR REACH.WHAT ARE YOU DOING WITH IT?
Friday, July 20, 2007
MSIOGOPE,KAPIMENI!
Ninapoanza kuandika hapa nilipo ni jioni.Nchini Tanzania ni usiku wa manane.Watanzania wengi wamelala,wengine fofofo huku wakikoroma kutokana na wingi wa ndoto.Kumbuka watu wanaokoroma mara nyingi wao ndio huwa wa kwanza kwenda kulala.Hivi kwanini eti?
Jeff, nimekutag.
ReplyDeleteTujulishe vitu nane tusivyojua kuhusu wewe.
Eti ukipima unaweza kufa kwa kihoro. Wajanja wanachuna tu.
ReplyDeleteNaona mambo si mabaya! Bro vipi, umeshaeenda kupima lakini??
ReplyDeleteHaaaaha Jeff kweli hii picha hata mie imenivutia haswa kwa ndugu yangu Lyatonga amependeza
ReplyDelete