Ukidhani kwamba ni sisi tu wanablog wa ki-Tanzania ndio tunashikia bango kuundwa kwa vyama au jumuiya ili tuwe na mienendo na maadili yanayoeleweka zaidi,utakuwa unakosea. Kuna bloggers ambao wanataka kuwa na malengo,pengine makubwa zaidi na zaidi.Wasome hapa.
No comments:
Post a Comment